JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Rais wa Jamuhuri ya Guinea Bisau kufanya ziara kwa siku tatu nchini

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika katika Kudhibiti Malaria (ALMA), Mheshimiwa Umaro Sissoco Embaló anatarajia kufanya ziara ya siku tatu nchini kuanzia…

Serikali yataja mikakati ulinzi na usalama kwa wenye ualbino

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametangaza mikakati ya serikali bungeni inayolenga kuimarisha ulinzi na usalama wa makundi ya watu wenye ulemavu na ualbino nchini. Akitoa tamko la serikali leo Juni 20, ikiwa ni siku chache tangu mtoto mwenye ualbino auawe kikatili…

Waziri Majaliwa kuzindua uboreshaji daftari la Kudumu la Wapiga Kura Kigoma

Na. Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Kigoma Wananchi mkoani Kigoma wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao wakati wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajiwa kuzinduliwa mkoani humo Julai Mosi, 2024. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti…

CTI bado yalia na utitiri wa tozo kwenye mikoani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Dalaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda (CTI), limeseme kuwepo kwa utitiri wa tozo katika kila mkoa na halmashauri kumekuwa kikwazo katika ustawi wa biashara na uwekezaji nchini. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na…

Vijana waandamana Kenya

Kundi la vijana limeandamana mjini Nairobi, Kenya leo Juni 20, 2024 kuishinikiza serikali kufuta mapendekezo ya muswada wa sheria ya kodi, ambao wanadai hauna tija kwa wananchi. Vijana hao wamedai muswada huo haukushirikisha wadau wengi wakiwemo wanasiasa, ili uweze kujadiliwa…

Watu 34 wamekufa India baada ya kunywa pombe yenye sumu

Takriban watu 34 wamekufa baada ya kunywa pombe yenye sumu katika jimbo la Tamil Nadu, kusini mwa India, maafisa wamesema. Kisa hicho kilitokea katika wilaya ya Kallakuruchi ambapo wakazi kadhaa waliugua baada ya kunywa pombe hiyo Jumanne usiku. Takriban watu…