JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Wazazi watakiwa kusimamia malezi bora kwa vijana kundi rika na watoto

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Sal Wazazi , viongozi wa dini na wale wa kimila pamoja na wadau mbalimbali nchini wametakiwa ,kusimamia malezi ya vijana na watoto wa wa kike na kiume ili waweze kuwa na maadili bora ….

Timu ya taifa ya kuogelea safarini Kenya 

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waogeleaji wanne wa timu ya taifa ya kuogelea wanatarajiwa kuondoka Juni 21 mwaka huu kwenda Nairobi, Kenya kushiriki mashindano yatakayofanza Juni 22 na 23, mwaka huu nchini humo.  Akizungumza na waogeleaji hao wakati akiwakabidhi…

Mangungu ateua mjumbe wa bodi ya wakurugenzi

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Ally Mangungu amemteua, Dr. Kailima Ramadhani Kombwey kuwa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sports Club Company Limited. Taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo imebainisha kuwa Dkt. Kailima ataungana…

Maandalizi Maonesho ya Sabasaba yafikia asilimia 79

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imesema maandalizi ya maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (DITF) maarufu kama ‘Sabasaba’ yamekamilika kwa asilimia 79. Aidha imesema kuwa maonesho ya mwaka huu yatakuwa…

Waziri Ummy azindua Kampuni tanzu ya Bohari ya Dawa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amezindua Kampuni Tanzu ya Bohari ya Dawa inayoitwa MSD MEDIPHAM MANUFACTURING CO. Ltd., itakayosimamia viwanda vya kuzalisha bidhaa za afya, pamoja na kuzindua Bodi ya Usimamizi wa…