JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

RC Chalamila siku ya mtoto wa Afrika itukumbushe wajibu wetu katika malezi ya mtoto

-Aitaka jamii kuacha kushabikia vitendo vinavyodharirisha utu wa binadamu -Asema mtoto anasitahili kulindwa na kupatiwa haki yake -Atoa rai kwa jamii kuacha tabia za kibaguzi kwa watoto wenye ulemavu na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa…

TARURA ongezeni umakini kwa wakandarasi : Mhandisi Mativila

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Naibu Katibu Mkuu Wizara ya OR-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu  Mhandisi. Rogatus Mativila ameitaka Wakala ya barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) mkoa wa Morogoro kuongeza umakini kwa wakandarasi waotekeleza miradi ya Ujenzi wa barabara na madaraja…

Kamati ya Siasa Nkasi yampa tano DC Lijualikali

Na Israel Mwaisaka, JakhuriMedia, Nkasi Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Nkasi imempongeza mkuu wa Wilaya Nkasi Peter Lijualikali lwa namna anavyosimamia utekelezaji wa ilani ya CCM . Pongezi hizo zimetolewa jana na Mwenyekiti wa CCM…

Nape awaomba wadau wa habari wamuamini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba wadau wa sekta ya habari kuwa na imani naye kuhusu vifungu 12 vinavyolalamikiwa katika Sheria ya Huduma ya Habari ya mwaka 2016….

Wenye uoni hafifu waonyeshana kazi UMISSETA

Kiwanja cha mpira wa goli kimeendelea kuwaka moto wakati timu za mchezo huo zikipimana nguvu katika michezo ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) inayofanyika Tabora. Katika mchezo uliofanyika leo katika Chuo cha Uhazili Tabora, timu ya wavulana ya…

‘Ushiriki wa pamoja utapunguza biashara haramu ya viumbe pori’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa uwepo wa biashara haramu ya viumbe pori una athari mbalimbali katika maeneo ya kiuchumi, kijamii na kimazingira. Hayo yamebainishwa Mkuu wa Kitengo cha Sera na Usimamizi mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili,…