JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Bunge la Kenya lapitisha marekebisho ya Muswada wa Fedha 2024

Muswada huo wa Sheria ya Fedha wenye utata umepitia Kamati ya Bunge zima , ambapo wabunge walikuwa wakipiga kura ya marekebisho ya muswada huo, sasa unasomwa kwa mara ya tatu. Hii ni baada ya wabunge 195 kupiga kura kupitisha muswada…

Jeshi la Polisi lawafariji wagonjwa Chato

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato KATIKA kile kinachoonekana ni kuitafsiri kwa vitendo falsafa ya Polisi Jamii na Ulinzi shirikishi,Jeshi la polisi wilayani Chato mkoani Geita limefanya usafi na kutoa zawadi mbalimbali kwa baadhi wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali ya wilaya hiyo….

Ruvuma ina wajane zaidi ya 49, 000

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea TAKWIMU za Sensa ya Watu na Makazi za mwaka 2022 zinaonesha kuwa Mkoa wa Ruvuma una jumla ya wajane wapatao 49,702. Hayo yasemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Ndugu Rehema Madenge wakati anafungua…

Taasisi za umma zasisitizwa umuhimu wa mfumo wa NeST- Twamala

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kaimu Katibu Tawala ,Mkoa wa Pwani ,Shangwe Twamala amesisitiza ulazima wa Taasisi za Umma kutumia mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa Umma “NeST” ambao unasimamiwa na mamlaka ya udhibiti wa ununuzi wa Umma(PPRA). Hayo aliyasema…

Malezi na makuzi mabovu yalivyokiini cha ukatili katika jamii

Na Daniel Limbe,Geita “Samaki mkunje angali mbichi” ndivyo wasemavyo wahenga wakimaanisha mtoto mwema,mwenye hekima, busara na maarifa huandaliwa kingali mdogo. Maneno hayo yanauweka bayana ukweli wa maisha ya mwanadamu katika malezi na makuzi ya mtoto hata anapokuwa mtu mzima. Ukweli…

Dk Samia mgeni rasmi kilele cha Wiki ya Wazazi Mpanda

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Wazazi kinachotarajiwa kufanyika Julai 13 mwaka huu Wilayani Mpanda Mkoani Rukwa. Hayo yameelezwa leo Julai 24,2024 Jijini…