JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Watumishi wanne kizimbani kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Juni 24, 2024 watumishi wanne ambao ni maafisa uchumi, wahasibu na maafisa uvuvi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka pamoja na…

Mtendaji Mtaa wa Oysterbay Dar ahukumiwa kwenda jela miaka 20

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Juni 24, 2024, imeamuliwa kesi ya Uhujumu Uchumi Na. 11/2022 mbele ya Isiaqa Kuppa – Hakimu Mfawidhi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni. Katika shauri hilo lililoendeshwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi Janeth Kafuko…

Gridi ya Taifa kumaliza tatizo la umeme Rukwa

šŸ“Œ Kituo cha kupoza umeme kujengwa Nkansi šŸ“Œ Maeneo 1,500 yaliyofanyiwa mapitio yamekidhi vigezo kulipia 27,000/- Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema changamoto ya umeme katika Mkoa wa Rukwa itamalizika baada ya Mkoa…

Ruvuma ilivyobarikiwa kuwa na vivutio adimu vya utalii

MKOA wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa michache nchini ambayo imebarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa na vivutio vya aina zote za utalii,ambavyo ni utalii wa ikolojia na utamaduni. Mkoa wa Ruvuma una mapori manne ya wanyamapori ambayo ni sehemu ya…

Muswada wa fedha 2024; Polisi wakabiliana na waandamanaji mjini Nairobi

Makabiliano makali yamezuka katikati ya mji wa Nairobi baada ya polisi kuwatawanya waandamanaji wa kupinga muswada wa fedha wa 2024. Umati wa waandamanaji ulikuwa umekusanyika katika barabara mbalimbali kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 wakati makabiliano yalipozuka. Polisi waliwarushia vitoa…

Korea Kaskazini yatuma maputo yenye takataka na nguo kuukuu nchini Korea Kusini

Wizara ya Muungano ya Korea Kusini ilitangaza tarehe 24 kwamba vimelea vinavyotokana na kinyesi cha binadamu na nguo zilizoharibika za Hello Kitty zilipatikana kwenye takataka zilizokutwa kwenye mfuko kwenye puto lililotumwa na Korea Kaskazini kwenda Korea Kusini. Tangu Mei, Korea…