JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Chama cha Waandishi wa habari za Mazingira watembelea Makuyuni Wildlife Park

Chama Cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) leo April 30, 2024 wametembelea Makuyuni Wildlife Park iliyopo wilaya ya Monduli katika mkoa wa Arusha kwa lengo la kujifunza Uhifadhi wa wanyamapori na kujionea shughuli za Utalii. Ziara hii ya…

Bashungwa awaondoa watendaji Kivuko cha Magogoni – Kigamboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaondoa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wanaosimamia usafiri wa kivuko kati ya Magogoni – Kigamboni na kuagiza kupangiwa kazi nyingine kwa kushindwa kusimamia kikamilifu huduma…

Watatu wafariki kwa kuangukiwa na ukuta

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Watu watatu wakazi wa Kijiji cha Iyombo-Nyasa, katika Kata ya Utwigu Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora.wamepoteza maisha kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba walimokuwa wamelala usiku. Kamanda wa Polisi Mkoani hapa Richard Abwao amethibitisha kutokea…