JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

‘Wataalam waliostaafu kuendelea kutumika katika ujenzi, matengenezo ya barabara’

Wizara ya Ujenzi kupitia taasisi zake ERB na TANROADS inaandaa utaratibu wa kutumia wataalam wa ndani waliostaafu katika ujenzi na matengenezo ya barabara. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi…

Rais Dk Samia kufanya ziara nchini Korea kwa siku sita

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea siku sita kuanzia Mei 30,2024 Akitoa taarifa hiyo leo Jijini Dar es salaam Mei 29,2024…

Gavana Bwanku apokea miche ya miti 500 kutoka TFS, adhamiria Katerero kuwa kijani

TFS inamuunga mkono vyema Rais Samia kulinda mazingira kupitia upandaji miti. Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku leo Jumatano Mei 29, 2024 amepokea jumla ya miche ya miti 500 kutoka kwa Wakala…

Wizara ya Ujenzi yaomba bajeti ya trilioni 1.77

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewasilisha makadirio ya bajeti ya shilingi trilioni 1.77 kwa ajili ya utekelezaji vipaumbele tisa vyenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani, ukamilishaji viwanja vikubwa vya ndege. Amesema…

Chuo cha afya KAM champongeza Rais Samia sekta ya afya

*Chaanza kudahili wanafunzi kozi za afya Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Afya cha KAM College kilichoko Kimara jijini Dar es salaam ambacho kimebobea kwenye mafunzo ya sekta ya afya, kimepongeza juhudi za serikali katika kuwekeza kwenye…

TRA yatoa elimu kwa mara ya kwanza kwa waandishi habari wa JUMIKITA

Na Magrethy Katengu, JamhuriMeedia, Dar es salaam Mamlaka ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewaomba waandishi wa habari za Mtandaoni (digital online) kuhamasisha wananchi kuwa na desturi ya kudai risiti pale wanapofanya manunuzi ili kusaidia kuwapata wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi….