JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Tanzania yadhamiria kuwa kituo kikuu uchimbaji madini Afrika

Tanzania imeendelea kusisitiza azma yake ya kuwa kituo kikuu cha uchimbaji madini barani Afrika, kupitia hatua zake mbalimbali za kimkakati na kiujumuishi ikiwemo sera zake zinazotoa motisha kwa wawekezaji sambamba mazingira bora ya uwekezaji. Dk Steven Kiruswa, Naibu Waziri wa…

Tutazidi kuimarisha huduma za ukunga kukabiliana na vifo vitokanavyo na uzazi – Waziri Ummy

Na WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya afya imedhamiria kuendelea kuboresha huduma za Ukunga sambamba na kuongeza idadi yao ili kupunguza vifo vya watoto wa mchanga. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema hayo leo Mei 5, 2024…

Mawasiliano ya barabara ya Dar – Lindi kurejea ndani ya saa 72 – Bashungwa

na Mwandishi Wetu, JakhuroMedia, Lindi Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam,…

NECTA yatangaza kuanza mitihani kidato cha sita Mei 6, ualimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la mitihani (NECTA) limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita na Ualimu huku wakitoa rai kwa kamati za mitihani kuhakiksha usalama wa vituo vya mitihani unaimarishwa na vituo vinatumika…

Waziri Mkuu Majaliwa azindua mbio za hiyari Coco beach Dar

-Atangaza rasmi kampeni ya mbio za hiyari ni ya nchi nzima -Awataka wakazi wa DSM kuendelea kufanya mazoezi ya hiyari kila Jumamosi kuanzia saa 12:00 Asubuhi hadi saa 3:00 Asubuhi Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Waziri Mkuu wa…