JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Usahihi wa utabiri wa TMA wafikia asilimia 86, WMO yaiamini yaipa majukumu mazito

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeendelea na utoaji wa huduma, kudhibiti na kuratibu shughuli za hali ya hewa nchini. Hayo yamebainishwa leo bungeni na Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa wakati akisoma…

Kimbunga Hidaya chaua Lindi, wengine 80 waokolewa

Na Isri MohamedWatu wawili wameripotiwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 80 kuokolewa wilayani Kilwa mkoani Lindi baada ya mvua kubwa iliyosababishwa na Kimbunga Hidaya kunyesha Mei 4, 2024 na kusababisha mafuriko. Mbali na kusababisha vifo, pia yamesomba madaraja na…

ATCL kupeleka marubaini wake kufundisha Nigeria

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege ya Ibom nchini Nigeria. Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Ladislaus Matindi alisema hayo jana Dar es Salaam na…

Kisukari, shinikizo la damu tishio kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema magonjwa ya kisukari na shinikizo la juu la damu ni kati ya magonjwa 10 yanayowasumbua zaidi Watanzania. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alisema hayo mwishoni mwa wiki baada ya kufanya mazoezi…

Waziri Mhagama awataka wazazi / walezi kusimamia maadili kwa watoto

Na Maandishi wetu, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama (Mb) Peramiho amewataka wazazi kutenga muda malezi kwa watoto ili kuwatizama na Kurekebisha mienendo yao. Kauli hiyo ameitoa mapema Leo tarehe 05/05/2024…

RC Chongolo aipa heko TANROADS, bil.5.7/- zatolewa kutatua changamoto za miundombinu Songwe

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo ameipongeza timu ya wataalamu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kufanya kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa kuhakikisha barabara zinapitika mkoani Songwe. Rc Chongolo ameeleza kuwa changamoto…