JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Rais Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza huduma za dharura zipelekwe kwenye maeneo yaliyopata athari kutokana na kimbunga Hidaya. Hayo yamesemwa leo (Mei 6, 2024) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwenye kikao cha dharura cha Kamati ya Maafa Kitaifa alichokiitisha kupokea…

Serikali kuwakopesha wajasiriamali bilioni 18.5/- kupitia NMB

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 18.5 kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali nchini zitakazotolewa kama mikopo yenye masharti nafuu kupitia Benki ya NMB. Makubaliano ya utaratibu wa ufadhili huo yalitiwa saini leo jijini…

Waziri Dk Gwajima azindua NMB Kikundi Akaunti yenye Bima ya Maisha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya NMB imeitambulisha akaunti mpya ya kidijitali kwa ajili ya vikundi mbalimbali vya kijamii iitwayo ‘NMB Kikundi Account,’ iliyozinduliwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, ambayo inajumuisha…

Kwa mara ya kwanza upasuaji wa kurekebisha valvu ya moyo wafanyika kwa mtu mzima

Kwa mara ya kwanza upasuaji wa kurekebisha valvu za moyo kwa watu wazima umefanyika kwa mgonjwa ambaye valvu yake ya moyo ya upande wa kushoto ilikuwa ikivujisha damu (severe mitral regurgitation). Upasuaji huo umefanywa hivi karibuni na madaktari bingwa wa…

Madaktari bingwa wa Rais Samia watasaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga

Na WAF – Iringa Mpango kabambe wa madaktari bingwa wa Dkt. Samia utasaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga kwa kuwajengea uwezo watoa huduma wengine katika Hospitali za Halmashauri kwa kuwa dhamira ya Serikali ni kuwa na wodi maalum za watoto…

Waziri Mkuu: Wakuu wa mikoa simamieni utashi wa Rais Samia

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa nchini waakisi utashi wa kisiasa wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia na kutekeleza mapendekezo yote yaliyotolewa na Tume ya Haki Jinai. “’Utashi wa kisiasa wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu…