JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Serikali : Miliki ubunifu ni nyenzo muhimu katika kukuza uchumi, biashara nchini

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema Miliki Ubunifu ni nyenzo muhimu katika kuendeleza na kukuza uchumi na biashara nchini. Hayo yameelezwa leo Mei 9, 2024 na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma wakati wa…

Ma -DC, Ma-DAS wahimizwa kutenda haki kudumisha amani na mshikamano nchini

📌Dkt. Biteko awataka kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa kuzingatia sheria 📌Asema maamuzi yao yasiwe ya upendeleo 📌Aelekeza kuandaa mkakati thabiti wa kutatua migogoro ya ardhi 📌Wakafanyie kazi mapendekezo ya ripoti ya Haki Jinai Na Ofisi ya Naibu Waziri…

Wachimbaji dhahabu zaidi ya 200 wapata elimu ya matumizi salama ya Zebaki Kibaga Mine

Na Helena Magabe,JamhuriMedia Tarime NEMC kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkemia Mkuu Kanda ya Ziwa pamoja na Tume ya Madini Kanda ya Ziwa kwa udhamini wa Benki ya Dunia wametoa elimu ya matumizi salama ya zebaki kwa wachimbaji wa dhahabu…

Waziri Ndumbaro awasimamisha viongozi wote TPBRC

Isri Mohamed Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Damas Ndumbaro amemsimamisha Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC), Chaurembo Palasa, pamoja na Katibu mkuu George Silas na viongozi wengine wote wa kamisheni hiyo ili kupisha uchunguzi wa…

Serikali yaainisha mpango wa kusaidia wachimbaji wadogo nchini

Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde ameainisha mpango wa Serikali wa kusaidia utatuzi wa changamoto zinazowakabili wachimbaji wadogo nchini. Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Mei 9, 2024 wakati akijibu swali la Mhe. Dkt. Christine Ishengoma Mbunge wa Viti Maalum aliyetaka kujua…