JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Biteko : Wekeza katika utafiti kuchochea maendeleo

📌Rais Samia atunukiwa tuzo kwa mchango wake Sekta ya Afya 📌NIMR yapongezwa kwa ushawishi wa utafiti kimataifa 📌Serikali yatoa kipaumbele tafiti za kisayansi 📌Vituo vya utafiti vyaaswa kushirikiana kuboresha utafiti Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati…

Rais Samia aikomboa Afrika Nishati Safi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Paris, Ufaransa Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amelikomboa Bara la Afrika na kuokoa maisha wanawake wanaopata magonjwa ya mfumo wa hewa, kansa au kufariki dunia kwa sumu itokanayo na nishati safi, bila kusahau watoto…

Wananchi Iringa watakiwa kulinda miundombinu ya barabara kwa matumizi endelevu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Wananchi mkoani Iringa wamehimizwa kuilinda na kuitunza vema miundombinu ya barabara ili iwe endelevu na wanufaike nazo kwa muda mrefu kwa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa TARURA mkoa…

SMZ kushirikiana na GEL kupeleka wanafunzi nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema itaendesha msako na kuzifutia usajili wa wakala wa elimu ya nje ambao wanafanya kazi zao kwa ubabaishaji na kuipongeza Global Education Link GEL kwa mchango mkubwa inaotoa kwenye sekta…

CTI na wanachama wajadili utitiri wa tozo

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, shule Kuu ya Biashara (UDBS), Patrolik Kanje, ameshauri utitiri wa tozo za mamlaka ya udhibiti zipunguzwe ili kuwapunguzia mzigo wazalishaji wa bidhaa nchini. Alitoa ushauri…