JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Upatikanaji wa maji wafikia asilimia 66.7 Simanjiro

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Hali ya upatikanaji wa maji Vijijini katika Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara umefikia asilimia 66.7, huku kukiwa na aina 4 z vyanzo vya maji ikiwa ni pamoja na visima Virefu 76, Visima vifupi 15, mabwawa…

Mabalozi wa Afrika Tanzania kushiriki mbio za Marathon Mei 18,2024

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Mabalozi wa Nchi za Afrika nchini Tanzania wanatarajia kushiriki mbio za riadha kuanzia kilomita 5 hadi 15 zitakazofanyika Mei 18 ,2024 Ameyasema hayo leo Mei 15, 2024 Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mawasiliano Wizara…

Waenda jela miaka 20 kwa ujangili wa Twiga, wakutwa na shehena ya nyama Burunge

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Mahakama ya  Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara imewahukumu kwenda jela miaka 20 kila mmoja wakazi wawili Babati mkoani Manyara baada ya kutiwa hatiani katika kesi ya uhujumu uchumi, baada ya kukamatwa wakiwa wameuwa Twiga…

‘Bajeti Kuu ya Serikali kuwezesha nishati safi kupikia na wanawake’

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefungua Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Barani Afrika unaofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO jijini Paris, Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024. Katika hotuba yake ya ufunguzi…

FCS, TradeMark Afrika wakubaliana kuboresha mazingira wezeshi ya kibiashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Foundation for Civil Society (FCS) na TradeMark Africa wamesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kuboresha mazingira wezeshi na jumuishi ya kibiashara kuhakikisha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wanajumuishwa kikamilifu katika uendeshaji…

Sisi ACT- Wazalendo tumeichambua bajeti Wizara ya Afya, bado kuna tatizo la ufinyu wa bajeti – Dk Sanga

Waziri wa Afya Ummy Ali Mwalimu (Mb.), amewasilisha Bungeni mpango wa Wizara na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 pamoja na maeneo ya kipaumbele ambayo wizara itajielekeza nayo kwa mwaka 2024 -2025. Sisi, ACT Wazalendo kupitia…