JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Waziri Mkuu atoa wito kwa wanaotelekeza wanawake

………..….. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wanaotekeleza afua mbalimbali za wanawake watumie taarifa na takwimu za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika kuandaa mipango na mikakati ya uwezeshaji wa wanawake nchini. Mbali na hayo pia…

RC Chalamila ataka taasisi za elimu kuandaa mtaji wa kibinadamu

-Asema nchi za Afrika zina kila kitu lakini bado hazijawekeza vizuri katika mtaji wa kibinadamu (Human Capital). -Awataka wazazi na walimu kuwawezesha wanafunzi kutambua uwezo wao kama wanajamii wenye tija. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila…

TANROADS yaanza utekelezaji maagizo ya Waziri Bashungwa, yatangaza zabuni ujenzi madaraja ya Chakwale, Nguyami

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) umeanza kutekeleza maagizo ya Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa aliyoyatoa Februari 22, 2024 wakati wa ziara yake ya siku Nne mkoani Morogoro ya kukagua miundombinu ya barabara ikiwa ni utekelezaji…

Canada yatenga bilioni 38 kutekeleza mradi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mkuranga SERIKALI ya Canada kupitia ‘CARE International Canada’ imetenga takribani CAD 20 milioni (Shilingi Bilioni 38) zitakazo tekeleza Mradi wa “Her Resilience, Our Planet Project”. Miradi huo unalenga kuongeza ushiriki wa vijana na wanawake katika shughuli…

Burundi kuendelea kuwaleta wagonjwa wa moyo kutibiwa JKCI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wataalamu wa afya kutoka nchini Burundi wametembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwaajili ya kuona namna ya kushirikiana katika matibabu ya moyo. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ziara hiyo Mkurugenzi Mtendaji…

Mwenyekiti TEF Balile achaguliwa kuwa rais wa EAES

Jumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), kuwa rais wa Jumuiya kwa kipindi cha mwaka 2024 – 2025. Pia imemchagua Fitihawok Yewondwossn, kutoka Jukwaa la Wahariri Ethiopia kuwa Makamu wa rais kwa…