JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Tanzania yaunga mkono uamuzi wa SADC – Majaliwa

Ni kuhusu mbinu za uvunaji wa maji na udhibiti wa mafuriko WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania inaunga mkono uamuzi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) juu ya kuongeza mbinu za uvunaji wa maji, udhibiti wa mafuriko…

Harmonise kuzindua ‘ muziki wa Samia album Mei 25’ Dar

Na Magrethy Katengu,Jamuhuri Media Dar es Salaam Mwimbaji bongo fleva jina halisi Rajab Abdul hupendelea kujiita pia” Konde Boy” Staa Harmonize Mei 25,2024 anatarajia kuzindua album yake ya tano katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambayo ameipa…

Balozi Nchimbi ataka maofisa utumishi kuacha uonevu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Akizungumza kwenye…

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa katika sekta ya madini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika uwekezaji katika Sekta ya Madini ili kuupiga jeki uchumi wa taifa kwa kutengeneza ajira na walipa kodi wapya. Hayo yamesemwa leo Mei 20, 2024 na Katibu Mtendaji wa Tume…

Dk Mpango atoa maelekezo 10 ya kuboresha sekta ya nyuki, apongeza Wizara ya Maliasili

Na John Mapepele. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango ametoa maelekezo kumi yatasaidia kuimarisha sekta ya nyuki ili iweze kuchangia mapato ya Serikali na kwenye uchumi wa taifa kwa ujumla Mhe. Mpango ametoa…

Agri Connect yaongeza mnyororo wa thamani wa mazao Mufindi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mufindi Imeelezwa kwamba kukamilika kwa ujenzi wa Barabara ya Km. 30.3 kutoka Sawala -Mkonge- Iyegeya uliogharimu shilingi bilioni 12.17 kupitia mradi wa Agri- Connect unaofadhiliwa na Jumuiya ya Ulaya (EU) umeongeza mnyororo wa thamani wa mazao…