JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Mwonekano kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Ifakara

Muonekano wa Kituo cha kupokea Kupoza na kusambaza Umeme kilichohengwa wilayani Kilombero Ifakara kinatarajiwa kuzinduliwa kesho, Mei 31 na Dkt. Doto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati pamoja na Christine Grau, Balozi wa Umoja wa Ulaya. Kituo…

Wizara ya Maliasili na Utalii yapongezwa kwa onesho maalum la kutangaza vivutio vya utalii

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ubunifu wa kuandaa Maonesho maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii yenye lengo la kuelimisha wabunge kuhusu masuala ya uhifadhi…

TANESCO Ruvuma yawatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga AFISA uhusiano wa huduma kwa wateja TANESCO Ruvuma, Allan Njiro, amewatahadharisha wananchi wa vitongoji vya Matemanga na Mkurusi vilivyopo katika kata ya Kigonsera Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga vijijini mkoani Ruvuma kuwa makini na watu…

Bodi ya Mfuko wa Barabara yakusanya mapato kwa asilimia 77

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi…

Wanafunzi 188, 787 wachaguliwa kidato cha tano na vyuo vikuu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanafunzi 188,787 waliokidhi vigezo wakiwemo wanafunzi wenye mahitaji maalum 812 wamechaguliwa na kupangiwa kujiunga na kidato cha Tano na vyuo vya kati nchini kwa mwaka 2024. Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali,…

Migodi ya Madini 21,686 yakaguliwa katika kipindi cha Julai, 2023 hadi Aprili 2024.

Kati ya migodi hiyo, migodi mikubwa ni nane, migodi ya kati 56 na migodi midogo 21,622. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Msafiri Mbibo akimwakilisha Waziri wa Madini, Anthony Mavunde katika…