JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Zanzibar kuanzisha mfuko wa maendeleo ya soka ili kuendeleza michezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar, SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeeleza dhamira yake ya kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya soka Zanzibar ili kuendeleza sekta ya michezo nchini. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali…

Motsepe akiri goli la Yanga Vs Mamelod ni halali

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa shirikisho la soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe amekiri kama angekuwa upande wa shabiki angeona goli la Yanga lililokataliwa na mwamuzi katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Mamelod Sundowns Afrika Kusini kuwa lilikuwa…

TANROADS kuweka kambi barabara ya Kiranjeranje – Ruangwa kurejesha mawasiliano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Huenda Adha ya usafiri na usafirishaji bidhaa inayowakabili wananchi wanaotumia barabara ya Kiranjeranje kwenda Ruangwa ikafikia tamati baada ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi kutangaza kutia kambi eneo hilo ili kuhakikisha njia…

COREFA yakabidhi mipira 1,000 itakayochagiza kuinua michezo kwa shule za Pwani

Na Mwamvua Mwinyi , JamhuriMedia, Pwani Uwepo wa vifaa mbalimbali vya michezo katika shule mbalimbali utasaidia kuchagiza kuendelea kwa somo la michezo sanjali na kuibua vipaji vichanga mashuleni. Akipokea vifaa vya michezo-mipira 1,000 iliyokabidhiwa na Chama Cha Soka mkoani Pwani,…

Majaliwa ataka wavamizi wa rdhi kuchukuliwa hatua kama jinai nyingine

Na Munir Shemweta, WANMM Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa amezitaka taasisi zinazoshughulika na masuala ya ya jinai kuhakikisha zinachukua hatua dhidi ya wavamizi wa ardhi kama jinai nyingine. Mhe. Majaliwa ametoa kauli hiyo…

TAPSEA jiendelezeni kitaaluma kuendana na mabadiliko ya teknolojia – Dk Biteko

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto wa makatibu mahsusi nchini  kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia sambamba na kuboresha utendajikazi wao. Ameyasema hayo leo…