JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Swahiba wa Nyerere apongeza uongozi wa Samia akitimiza miaka 99

Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, leo Jumamosi, Mei 25, 2024. Balozi Nchimbi alikwenda nyumbani kwa Mzee Songambele Mwananyamala jijini Dar es Salaam kumfikishia salam za pongezi kutoka…

Wanne wakamatwa wakisafirisha punda 46 nje ya nchi

Na.Abel Paul,Jeshi la Polisi- Longido Arusha Jeshi la Polisi kikiosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne pamoja na mifugo aina ya…

Serikali imedhamiria kuendelea kutekeleza agenda ya uchumi wa viwanda – Dk Biteko

📌Tanzania na Uganda kuendelea kushirikiana kukuza biashara na diplomasia 📌 Serikali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta na gesi kwa bei nafuu na kuongeza ushiriki wa wananchi katika uchumi wa viwanda 📌Serikali za Tanzania na Uganda zaingia makubaliano kuimarisha sekta ya nishati…

Vipaji vya wanafunzi wa awali Tusiime vyawashangaza wazazi

Na Mwandishi Wetu WAZAZI walioshiriki siku ya taaluma na maonyesho ya shule ya awali Tusiime leo wameshangazwa na vipaji vilivyoonyeshwa na wanafunzi hao kwa kumudu kutengeneza vitu mbalimbali na kumudu kuzungumza kingereza fasaha muda wote. Maonyesho hayo yaliyofanyika leo kwenye…

JKT lawaita vijana kujiunga na Mafunzo kwa mujibu wa sheria

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma JESHI la kujenga Taifa (JKT )limetoa wito kwa Vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha sita kwa Mwaka 2024 kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria ili kujengewa uzalendo ,…

Watatu mbaroni kwa kumteka mtoto na kutaka wapewe milioni 20

Na Abel Paul , Jeshi la Polisi- Kilimanjaro Jeshi la Polisi limesema limefanikiwa kumpata mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 5 mwanafunzi wa shule ya awali Isaiah Samartan iliyopo jijini Mbeya aliyeripotiwa kupotea Mei 15,2024 muda wa saa 11:45…