JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

DC, Mkurugenzi Kilombero wakagua maeneo yaliyokumbwa na mafuriko

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Dustan Kyobya na Mkurugenzi wa Ifakara Mji Zahara Michuzi , wamefika eneo la kingo za mto Lumemo ambao umejaa sana kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kuleta mafuriko kwenye makazi na taasisi za umma na binafsi….

Zanzibar yaadhimisha Siku ya Vinasaba Duniani

Na Rahma Khamis – Maelezo Zanzibar      Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui amewataka Mawakala wa Maabara ya Serikali kuendelea kuwa waaminifu na waadilifu katika kazi zao za kiuchunguzi wa matatizo ili wananchi waamini majibu yanayotolewa na…

Pwani yajipanga mbio za mwenge licha ya changamoto mvua na mafuriko

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani umejipanga katika mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, licha ya changamoto ya mafuriko katika baadhi ya maeneo, ambapo Mwenge huo utapokewa April 29 ukitokea mkoani Morogoro. Mkuu wa mkoa wa Pwani, alhaj…

TFS yatoa milioni 20 waathirika wa mafuriko Rufiji, Kibiti

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani WAKALA wa huduma za misitu Tanzania (TFS) imemkabidhi Mkuu wa mkoa wa Pwani kiasi cha sh.milioni 20 kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Wilayani Rufiji na Kibiti. Aidha imetoa eneo Chumbi Rufiji lenye viwanja 600 ili…

Rais Samia aipa TANROADS bil 66/- kuanza urejeshaji miundombinu ya barabara iliyoharibika

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya barabara zilizoharibika nchini. Fedha hizo tayari zimegawanywa kwa mameneja wa TANROADS mikoa…

CCM Morogoro wampongeza Dk Rose kwa kuchangia ofisi za chama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero MWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk. Rose Rwakatare, ameahidi kutoa mabati 100 kwaajili ya ujenzi wa ofisi ya chama hicho Wilaya ya Kilombero inayoendelea kujengwa ambayo itagharimu milioni 250. Alitoa ahadi hiyo jana…