JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Tanzania yapasua anga huduma za mawasiliano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Arusha Tanzania imekua na maendeleo makubwa ya huduma za mawasiliano kwa gharama nafuu mijini na vijijini kwa kufanikisha laini za simu milioni 72.5 Machi mwaka huu kutoka laini milioni 64.1 za Juni mwaka 2023 . Katika kipindi…

TAKUKURU yawahoji 11 kwa kuficha msaada wa chakula Rufiji, Kibiti

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) inawahoji Mtendaji wa kata, kijiji pamoja na vijana Tisa ambao ni wabeba mizigo (makuli) kwa madai ya kuficha chakula cha waathirika wa mafuriko Wilayani Rufiji na Kibiti…

Mhadhiri Chuo cha Utumishi wa Umma kortini kwa kuomba rushwa ya ngono

Aprili 25, 2024 katika Mahakama ya Wilaya ya Tabora, mbele ya Demetrio Nyakunga, Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Tabora, imefunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi Namba ECC. 10892/ 2024 ya Jamhuri dhidi ya Bw. Michael Fredrick Mgongo Mhadhiri katika…

Tanzania na Urusi kushirikiana kudhibiti uhalifu wa kimtandao

Serikali imedhamiria kushirikiana na nchi ya Urusi katika kudhibiti uhalifu nchini ikiwemo uhalifu wa mtandao ambao umeanza kushamiri katika maeneo mbalimbali nchini huku ikiweka wazi dhamira ya kujengewa uwezo kwa askari wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na…

Waliojichukulia sheria mkononi Engikaret kusakwa

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi – Longido Arusha Jeshi la Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo kimesema hakuna sheria inayomruhusu mtu yoyote kujichukulia sheria Mkononi huku likibainisha kuwa tayari linayomajina ya watu waliojichukulia sheria Mkononi na kubomoa nyumba…