JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

TANROADS yaendelea na ujenzi wa miundombinu ya barabara Gongolamboto Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imehakikisha utekelezaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka; barabara ya Nyerere hadi Gongo la mboto unaendelea huku barabara ya kawaida ikiendelea kupitika hata katika kipindi hiki…

Msajili wa Hazina akutana na boss wa mpya wa HESLB Dar

Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. ………………….. Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana…

TANROADS yaweka kambi barabara ya Morogoro- Iringa kuziba mashimo maeneo yaliyoharibiwa na mvua

Na Aisha Malima,JamhhuriMedia, Morogoro Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro inaendelea na kazi ya kuziba mashimo na kukarabati barabara kuu ya Morogoro – Iringa ikiwemo katika eneo la Kobogwa lilipo katika hifadhi ya Taifa ya Mikumi…

JKCI yaokoa milioni 600 upasuaji watoto 40

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumla ya Sh milioni 600 zitaokolewa baada ya watoto 40 kufanyiwa kupasuaji wa moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Shirika la Muntada Aid la nchini Uingereza. Gharama ya…