JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Bilionea Laizer anyan’ganywa njia ya mgodi Mererani, wachimbaji 580 wakosa ajira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mererani Rais Samia Suluhu Hassan ameombwa kuingilia kati, mgogoro wa kufungwa njia ya mgodi wa bilionea Saniniu Laizer ambao mwaka 2020 ulivunja rekodi ya kutoa madini makubwa zaidi ya Tanzanite tangu kugunduliwa madini hayo miaka zaidi…

Shambulio la ndege isiyokuwa na rubani yaua 12 Sudan

Shambulio la ndege isiyokuwa na rubani liliua watu 12 na kujeruhi wengine 30 Jumanne katika mji wa kaskazini mashariki mwa Sudan wa Atbara, ambapo kufikia sasa, kulikuwa kumeepuka vita vya kikatili, madaktari na mashahidi wameliambia shirika la habari la AFP….

Wajumbe wawasili kwenye kikao maalumu cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Viongozi mbalimbali Wajumbe wakiwasili tayari kwa Kikao Maalum Cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kitakachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 3 Aprili, 2024 Jijini Dar es salaam.

Mtoto wa siku moja afariki kwa kudaiwa kunyweshwa sumu na jirani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora linamshikilia mwanamke mmoja aitwaye Wande Shija, mkazi wa Mtaa wa Mbagala B Kitongoji cha Magharibi kwa tuhuma za kumnywesha sumu mtoto mchanga wa siku moja wa jirani…

Rais Samia azindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amezitaka taasisi zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi kuhakikisha zinazingatia matakwa ya sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi. Rais Samia amesema hayo leo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Tume…

Rais Samia aiagiza PDPC kusajili taasisi zote kabla ya Desemba

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) kuhakikisha inasajili taasisi zote za umma na binafsi kabla ya Desemba mwaka huu. Aidha Rais…