JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Wizara ya Ujenzi yaeleza mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WIZARA ya Ujenzi imeandaa hafla ya kuelezea mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita kwa kipindi cha miaka mitatu katika sekta ya Ujenzi huku ikijinasibu kukamilisha miradi ya ujenzi kwa kiwango cha lami wenye jumla ya kilometa…

Kamati ya Siasa Bagamoyo yaridhishwa na ujenzi wa miradi Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo KAMATI ya Siasa ya CCM wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani, imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi wa soko kuu Bwilingu lililopo Chalinze ambalo limefikia hatua ya umaliziaji na kugharimu kiasi cha sh.bil 1.4 mara litakapokamilika…

Ndumbaro kukabidhi eneo la mradi wa uwanja Arusha

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewasili katika eneo la Olmoti kwa ajili ya Hafla ya kumkabidhi mkandarasi eneo la ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu Jijini Arusha leo Aprili 6, 2024. Ndumbaro ameambatana na…

Senyamule kuipeleka Dodoma kwenye soko la utalii wa kimataifa

Na Dotto Kwilasa, JakhuriMedia, Dodoma OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kupitia Wadau wa Utalii imejipanga kuiweka Dodoma kwenye ramani ya utalii kupitia mkakati wake wa miaka 10 wa kuipeleka Dodoma kwenye soko la utalii la kimataifa ili kuiongezea…

Serikali kuendelea kuwakumbuka viongozi waliotangulia

Na Rahma Khamisi Maelezo   Waziri wa Ujenzi ,Mawasiliano na Uchukuzi Dkt Khalid Salum Muhammed amesema Serikali inatambua michango ya Viongozi  walioshiriki katika kuikomboa nchi ambao wameshatangulia mbele ya haki. Ameyasema hayo huko Migombani Wilaya ya Mjini  katika dua ya kumuombea aliyekuwa…

Mtendaji Mkuu TARURA aagiza usanifu upya daraja la Bibi Titi Mohammed -Mohoro

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Rufiji Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff ameagiza timu ya wataalamu wa TARURA Makao Makuu na ya Mkoa wa Pwani kufanya mapitio ya usanifu wa daraja la…