JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Watu 90 wafa maji Msumbiji

ZAIDI ya watu 90 wamefariki dunia baada ya boti yao kupinduka Mamlaka nchini humo zilisema wasafiri hao walikuwa wakikimbia mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu na walikuwa wakitoka Lunga kuelekea Kisiwa cha Msumbiji, kando kidogo ya pwani ya Nampula. Kwa mujibu…

Mwili wa aliyekuwa na deni la Sh milioni 18 wazikwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Familia ya marehemu Juma Jumapili (60), wameishukuru Serikali baada ya kuruhusu kuuchukua mwili wa marehemu huyo uliozuiliwa kutolewa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyoko jijini Mwanza kutokana na kudaiwa gharama za matibabu sh.milioni 18. Akizungumza…

Talaka chanzo cha tatizo la watoto wa mitaani, afya ya akili

Na Patricia Kimelemeta, JamhuriMedia TALAKA, ugomvi, mifarakano na migogoro ndani ya ndoa ni miongoni mwa sababu zinazochangia baadhi ya watoto kuishi mitaani na wengine kupata changamoto ya afya ya akili. Hali hiyo pia inawakumba hata watoto walio chini ya miaka…

Simba dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa Aprili 2024

NI rasmi Aprili 20, 2024 Yanga SC watakuwa wenyeji wa watani zao Simba SC katika muendelezo wa kinyang’anyira cha Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023-24. Taarifa iliyotolewa leo na Idara ya Habari na Mawasiliano ya Bodi ya Ligi Kuu…

Makamu wa Rais ashiriki kumbukizi ya hayati Abeid Aman Karume

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume katika kumbukizi ya miaka 52 ya kifo chake tarehe…

Watuhumiwa 514 wakamatwa wakitorosha mifugo kwenda nchi jirani

Jeshi la Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na wananchi limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili wakitorosha mifugo 514 kwenda nchi jirani huku wakitumia vibali vya kampuni isiyohusika na mifugo hiyo. Akitoa taarifa hiyo kamanda wa Polisi Kikosi cha…