JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

TRCO yajitosa kumnusuru mnyama kakakuona

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Wadau wa uhifadhi nchini wametakiwa kuhakikisha kuwa mnyama Kakakuona analindwa na kutunzwa kwani yupo hatarini kutoweka. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na shirika la Tanzania Research Conservation Organization (TRCO) kuanzia mwaka 2022 hadi 2024 umesema…

Wananchi wa Kipunguni kulipwa fidia

Na Josephine Majura WF, Dodoma Serikali imesema kuwa itaanza kufanya malipo ya fidia kwa wananchi wa Kipunguni waliopisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege jijini Dar es Salaam ambao madai yao yamehakikiwa na hayana vikwazo vyovyote. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma…

Waziri Mkuu azindua Nembo ya Muungano, ataka wapiga kura kujiridhisha na wapenda Muungano

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa amezindua Nembo na Kauli mbiu kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 60 ya muungano huku akiagiza kuelekea uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa mwaka 2024, wapiga…

Dk Biteko ataka Watanzania kumuenzi Sokoine kwa kufanyakazi

📌Hayati Sokoine alikuwa mstari wa mbele kukemea rushwa na ufisadi 📌Anakumbukwa kama kiongozi aliyepigania maendeleo ya taifa. 📌Dkt. Biteko asisitiza Sekta ya Kilimo iwe kimbilio Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Watanzania wanapaswa…

Mafuriko Rufiji,Kibiti ACT Wazalendo watoa ushauri kwa Serikali

Na Magrethy Katengu,Jamhuri Media, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimemwomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kujionea hali halisi Rufiji na Kibiti waliokumbwa na janga la mafuriko huku malighafi zao zikiharibika ikiwemo makazi na mashamba yao. Ombi hilo amelito leo…