JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Rais Samia atoa tani 300 za chakula kwa waathirika wa mafuriko

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge amepokea misaada ya Tan 300 za unga ,mchele na maharage kutoka kwa mh.Rais Samia Suluhu Hassan. Kunenge amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa msaada ili…

Kakolonya atoroka kambini, saa chache kabla ya mechi na Yanga

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mlinda lango namba moja wa klabu ya Singida Black Stars, Beno Kakolanya anadaiwa kutoroka kambini saa chache kabla ya mechi yao dhidi ya Yanga iliyochezwa jana katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza….

Tukilipa kodi, tumeisaidia Serikali – Mkurugenzi Msalala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Msalala Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala, Khamis Katimba amesema, wananchi wakilipa tozo na kodi vizuri, wanakuwa wameishaidia serikali kutekeleza majukumu yake kwao. Hivyo, amewataka wananchi wa Msalala kuhakikisha wanalipa tozo na kodi mbalimbali katika halmashauri…

Ujenzi kituo kipya cha utafiti wanyamapori nyanda za juu kusini kuanza rasmi Iringa

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) inaendelea kupanua wigo wa tafiti za wanyamapori kwa ustawi wa uhifadhi na kukuza utalii nchini ambapo, tarehe 13 Aprili 2024 zoezi la utiaji saini nyaraka za makabidhiano ya…

Rais Dk Mwinyi: Tuulinde Muungano na tuudumishe

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni wajibu kuulinda Muungano, kuuendeleza, kuudumisha na kuimarisha zaidi ili kuzidi kunufaika kwa dhamira ile ile ya Waasisi wa Taifa letu. Rais Dk.Mwinyi ameeleza kuwa umoja wa…

JUMIKITA yalaani vikali matusi mitandaoni

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali tabia mpya na mbaya inayofanywa na baadhi ya watu wasio waadilifu kutumia mitandao ya kijamii kutukana viongozi wa kiserikali ikiwemo Mhe Raia…