JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Chalamila : Waliolipwa fidia bonde la Msimbazi wasiende kujenga mabondeni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam -Asema Serikali tayari imeshatoa zaidi ya bilioni 50 kwa ajili ya fidia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari…

Majizo azindua kampeni za kuinua na kusaidia vijana kupata fursa za ajira

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Efm na TV E, Fransis Siza (Majizo) amezindua , kampeni mbili za kuinua na kusaidia vijana nchini ili kupata fursa za ajira na kuibua vipaji vyao. Ameyasema hayo,wakati alipokuwa akizindua…

Rais Samia kufanya ziara Uturuki

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara nchini Uturuki kwa lengo la kukuza uhusiano wa kidiplomasia ya siasa, uchumi, na biashara kati ya nchi hizo. Akizungumza leo Aprili, 15 jijini Dar es Salaam…

Dk Biteko azitaka TARURA, TANESCO kufikisha huduma zake Ngorongoro

📌Aipongeza TBC kwa maboresho makubwa ya miundombinu 📌Usikivu wa radio za TBC kufikia asilimia 92 Mwaka 2024/2025 📌Asisitiza maamuzi sahihi uchaguzi Serikali za Mitaa 📌Waziri Nape asisitiza umuhimu Mawasiliano kwa jamii 📌Asema Watanzania wanasimama na Rais Samia Naibu Waziri Mkuu…

Dk Mpango ataka jamii kuwekeza kwenye uanzishaji bustani za kijani

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpangoametoa wito kwa sekta binafsi, mashirika, Taasisi za umma pamoja na Taasisi za dini kuwekeza katika uanzishaji na uendelezaji wa Bustani za Kijani nchini…

Serikali hutenga milioni 250 kupitia TBS kuwahudumia wajasiriamali wadogo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali hutenga shilingi milioni 250 kwa ajili ya wahudumia wajasiriamali wadogo nchini bila malipo yoyote kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Hayo yamebainishwa leo Aprii 15,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu…