JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Wakulima Kanda ya Ziwa wana uelewa hafifu wa matumizi sahihi ya mbolea

Na Mwandishi Wetu ,JamuhuriMedia, Mwanza Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imesema wananchi wa Kanda ya Ziwa wanakabiliwa na changamoto ya uelewa mdogo wa matumizi sahihi ya mbolea katika shughuli zao za kilimo. Sababu nyingine kutokuzingatia suala…

Wizara ya TAMISEMI yaomba trilioni 10.125

OR-TAMISEMI Ofisi ya Rais – TAMISEMI, taasisi zilizo chini yake, mikoa 26 ikijumuisha halmashauri 184 zimeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2024/25 yenye jumla ya shilingi trilioni 10.125. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti…

RPC Lutumo akemea vitendo vinavyoashiria rushwa kwa askari Polisi Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Pwani, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Pius Lutumo amekemea vitendo vyenye viashiria vya rushwa kwa askari polisi ,na kusisitiza hatowafumbia macho askari watakaobainika kujihusisha na kuomba ama kupokea…

Tanzania ya nne kwa kuwa kutokuwa na vifuko salama Afrika

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imetajwa kuongoza miongoni mwa nchi nne zisizo na usalama wa viivuko Barani Afrika, kwa mujibu wa tafiti za kidunia imefahamika. Hayo yamebainishwa kwenye mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Usalama wa Vivuko…

TAWA yatoa misaada ya vyakula na boti Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori Tanzania (TAWA), imetoa misaada mbalimbali ikiwemo unga tani 6.4, maharage kilo 666, magodoro 186 vyenye thamani ya 20mil kwa ajili ya waathirika wa mafuriko wilayani Rufiji. Aidha imetoa imetoa…

Sekta ya mifugo,uvuvi yajinasibu kuimarisha miundombinu yake

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imetoa kiasi cha shilingi bilioni 51.66 kwa ajili ya kuimarisha miundombinu mbalimbali katika Sekta ya Mifugo kwa ujenzi wa miundombinu ya minada ya mifugo ya kisasa 51 shilingi bilioni 17.5 , ujenzi wa Majosho 746 kwa…