JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Ukraine yaonya kuhusu kutokea kwa vita vya tatu vya dunia

Waziri mkuu wa Ukraine ameiambia BBC kutakuwa na “Vita vya Tatu vya Dunia” ikiwa Ukraine itashindwa katika mzozo kati yake na Urusi, huku akilitaka bunge la Marekani kupitisha mswada wa msaada wa kigeni uliokwama kwa muda mrefu. Denys Shmyhal alionyesha…

Kihenzile: Tanzania ipo tayari kushirikiana kudhibiti usalama wa vivuko

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amesema Tanzania iko tayari kuhakikisha inashirikiana na Jumuiya ya Kimataifa ili kudhibiti vyanzo vyote vinavyosababisha majanga na usalama kwenye vivuko vyote Nchini pamoja na kuweka mazingira salama…

Serikali yafungua milango wenye nia ya kuchangia mazingira

…….. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema Serikali itaendelea kufungua milango kwa wadau wenye nia ya kuchangia katika hifadhi endelevu ya mazingira. Amesema hayo wakati wa kikao na ujumbe kutoka…

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ya athari za mafuriko ya mvua Kilombero

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Kilombero Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika Wilaya ya Kilombero, Serikali imetoa wito kwa wananchi kuendelea kuchukua tahadhari za mvua hasa katika maeneo yanayotuamisha maji, ili kujikinga na athari za mvua zinazoendelea kujitokeza. Wito huo umetolewa…

Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya sherehe ya Mei Mosi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya kilele cha siku kuu ya wafanyakazi duniani,Mei mosi mwaka huu yatakayofanyika kitaifa mkoani Arusha . Rais wa Shirikisho la…