JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Miaka miwili ya filamu ya Royal Tour, mabalozi wampa tano Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngorongoro Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Ujerumani, Ufaransa na Ubelgiji wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi za kutangaza utalii wa Tanzania zilizopelekea kuendelea kuongeza idadi ya…

Miaka 60 ya Muungano, Tanzania yang’ara uongozi wa Taasisi za Kikanda na Kimataifa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kipindi cha utekelezaji wa miaka 60 ya Muungano, Tanzania imefanikiwa kutoa viongozi mahiri kuongoza taasisi za kikanda na kimataifa ikiwa ni ishara ya kuaminiwa na mataifa mengine. Baadhi ya nafasi ambazo Tanzania imeongoza ni uteuzi wa…

Dk Biteko: Bwawa la Umeme la Julius Nyerere liko salama

📌 Asema limepunguza athari za mafuriko 📌 Atoa pole kwa waathirika wa mafuriko Rufiji 📌 Aeleza jitihada za Serikali kwa waathirika 📌 Azungumzia umuhimu wa Nishati Safi ya Kupikia, Bei ya Gesi. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu…

Nchi za SADC zampongeza Rais Samia kwa maono yake katika usimamizi wa misitu ya miombo

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Southern African Development Community-SADC) zimempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake katika usimamizi na uhifadhi wa misitu miombo hasa katika kuhama…

CBE yaahidi kuendelea kuisaidia shule ya Jangwani

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na viti mwendo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya sekondari ya Jangwani jijini Dar es Salaam. Msaada huo ulikabidhiwa jana shuleni hapo na Mkurugenzi wa Taaluma wa CBE, Dk….