JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Kinana: Serikali inafuatilia kwa makini uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Abdulrahman Kinana amesema Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali kwa ujumla inafuatilia kwa makini uharibifu mkubwa wa miundombinu unaosababishwa na mvua zinazoendelea kunyeesha nchini. Amesema kuwa katika maeneo ambayo yameathirika sana, Serikali imepeleka…

Madaktari Sekoutoure wafanikisha kutoa jiwe la gramu 800 kwenye kibofu

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Mwanza Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure wamefanikiwa kufanya upasuaji na kuondoa Jiwe ndani ya kibofu cha mkojo kwa mwanamke mwenye umri wa miaka 48. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa hospitalini hapo…

Waziri Jafo atoa maelekezo kwa maofisa halmashauri, NEMC kusimamia sheria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewaelekeza maafisa mazingira katika halmashauri zote kusimamia utekelezaji wa sheria ya mazingira katika maeneo yao. Ametoa maelekezo hayo wakati wa kikao…

Askari Polisi watakiwa kujiweka imara kuukabili uhalifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Askari kutoka Ukanda wa Mashariki Mwa Afrika wametakiwa kujiweka imara katika kukabiliana na uhalifu unaovuka mipaka, ugaidi, usafirishaji haramu wa binadamu pamoja na usafirishaji wa dawa za kulevya. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo…

Serikali kuendelea kudhibiti athari za michezo ya kubahatisha

Na Farida Ramadhani, WF – Dodoma Serikali kupitia Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuzuia na kudhibiti athari za michezo ya kubahatisha ili kuhakikisha jamii inakuwa salama. Hayo yameelezwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri…

Dk Nhimbi alakiwa kwa shangwe na mkutano mkubwa Ubaruku, Mbarali

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali, wakiongozwa na vijana waendesha bodaboda, baada ya kuwasili na msafara wake katika Kata ya Ubaruku, Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya,…