JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Kenya yatangaza siku tatu za maombolezo kutokana na kifo cha mkuu wa majeshi

Rais William Ruto ametangaza kifo cha Ogolla pamoja na maafisa wengine 9 wa jeshi huku wawili wakinusuruka. Akitangaza kifo cha Jenerali Ogolla rais Ruto amesema kutakuwa na siku tatu za maombolezo kuanzia Ijumaa tarehe 19 Aprili ambapo bendera zitapeperushwa nusu…

Mkuu wa Majeshi Kenya afariki dunia katika ajali ya helikopta

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Kenya Francis Ogolla amefariki. Rais William Ruto ametangaza kifo cha Ogolla pamoja na maafisa wengine tisa wa jeshi huku wawili wakinusuruka. Ogolla alifariki baada ya helikopta aliyokuwa akisafiria pamoja na maafisa wengine kuanguka Kaben,…

Asasi ya AGENDA yalia na matumizi ya plastiki na athari za kimazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga katika kupunguza matumizi ya plastiki kama njia mojawapo ya kutunza na kuhifadhi mazingira. Katika kutekeleza suala hilo Juni Mosi, mwaka 2019 Tanzania ilitangaza marufuku ya kutengeneza, kusambaza, kutumia…