JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Nchimbi awataka wana-CCM kuacha nongwa za uchaguzi Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt.Emmanuel Nchimbi amewataka Wana CCM kuacha nongwa za uchaguzi bali washirikiane katika kukijenga chama na kuwaletea wananchi maendeleo. Hayo ameyasema jana kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya…

NEMC yashiriki maonyesho ya miaka 60 ya Uhuru

Na Mwandishi Wetu, JamhurMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya watu wanaojenga miradi bila kupata Cheti cha Tathmini ya Mazingira EIA kwenye baraza hilo kwamba wanakabiliwa na faini ya shilingi milioni 10….

Tanzania yachaguliwa makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Tanzania kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) inayosimamia uangazi, miundombinu na mifumo ya taarifa za hali ya hewa (WMO Commission for Observation, Infrastructure…

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar azindua maonesho ya miaka 60 ya Muungano Dar

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es salaam Katika kipindi cha miaka 60 ya Muungano, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanikiwa kusimamia utekelezaji wa masuala ya Muungano kwa ufanisi mkubwa kwa kuimarika kwa…

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya watu wanaojenga miradi bila kupata Cheti cha Tathmini ya Mazingira EIA kwenye baraza hilo kwamba wanakabiliwa na faini ya shilingi milioni 10….

JWTZ latoa magari kumi Rufiji kurahisisha usafiri

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Jeshi la Wananchi wa Tanzania limetoa magari kumi kwa ajili ya kusaidia kusafirisha vyakula kwenda kwenye makambi ya waathirika wa mafuriko walioko kwenye Wilaya za Rufiji na Kibiti Mkoa wa Pwani. Akipokea magari hayo April…