JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Tanzania yaishauri Benki ya Dunia kuweka vipaumbele katika miradi ya maendeleo ya Afrika

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (katikati) na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil (kulia), wakifuatilia Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Magavana wa Kundi la Kwanza la Nchi za…

Waziri Jafo asisitiza upandaji miti taasisi za elimu

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amezitaka taasisi za elimu nchini kuongeza kasi ya upandaji miti kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Dkt. Jafo ametoa wito…

Naibu Waziri Katambi afungua michezo ya Mei Mosi Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe Patrobas Katambi amefungua rasmi michezo ya Mei Mosi na kueleza umuhimu wa michezo hiyo katika kuimarisha afya za wafanyakazi. “Michezo ni…

Msajili wa Hazina azungumza na Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Perseus

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, Aprili 20, 2024 amefanya mazungumzo na ujumbe kutoka Kampuni ya uchimbaji Madini ya Perseus ya nchini Australia iliyowakilishwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Jeff Quartermaine pamoja na Afisa Fedha Mkuu wa kampuni…

DC Kinondoni aitaka OSHA kuvichukulia hatua viwanda visivyofuata sheria za usalama

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule ametoa wito kwa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwafuatilia wamiliki wa viwanda wasiofuata sheria ya usalama wa kazi ili waweze kuchukuliwa hatua…