JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

Makamu wa Rais afungua skuli ya Maziwang’ombe -Pemba

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akipanda mti aina ya Mparachichi katika Skuli ya Sekondari Maziwang’ombe iliyopo Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa ufunguzi wa skuli hiyo ikiwa ni Shamrashamra…

Waziri Mkuu awaaga viongozi wa dini, uzinduzi wa ‘Route’ ya SGR Dar – Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania, Masanja Kadogosa akiwa kwenye kichwa cha treni ya mwendo kasi -SGR, alipowasindikiza viongozi wa dini walioondoka Stesheni ya Dar es salaam kwenda jijini Dodoma, Aprili 21, 2024,…

Benki ya Dunia kuisaidia Tanzania utekelezaji wa miradi 14 ya kimkakati

Ujumbe wa Tanzania (kushoto) ukiongozwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ukiwa katika kikao na Ujumbe wa Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, anayesimamia nchi za Kanda ya Mashariki na…

Zanzibar yaungana na dunia kuadhimisha kilele cha Wiki ya Maabara Duniani

Mkururugenzi mkaazi wa shirika la IPAC Nchini Tanzania Haruka Maryuma akitoa salamu za wadau wa maendeleo katika kilele cha wiki ya maabara Duniani huko Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar. Mkurugenzi wa kituo cha ulinzi wa afya wa kimataifa katika…

Tanzania, Ivory Coast zaingia makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya michezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Michezo ya Ivory coast katika masuala mbalimbali ya uendelezaji wa Sekta ya michezo. Makubaliano hayo yameingiwa leo Aprili 21, 2024…

Dk Gwajima afungua mkutano wa 21 wa MEWATA, asisitiza umuhimu kuongez kasi kujenga msingi ya afya ya watoto

Rais wa Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA) Dkt. Zaituni Bokhary akizungumza jambo katika mkutano mkuu wa 21 wa chama hicho uliofanyika leo Aprili 21, 2024 katika Hotel ya New Afrika, Dar es Salaam.