JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Wadau wachambua miaka mitatu ya Samia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kuongeza fursa hasa za ushiriki wa sekta binafsi katika kupanua wigo wa ukuaji wa uchumi nchini. Hayo yamebainishwa jijini Dar…

Tanzania yapokea ugeni kutoka China waonesha nia ya kuwekeza

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Tanzania imepokea ugeni wa jopo la wataalamu likiwa limeambatana na wawekezaji na viongozi wa Serikali kutoka Jimbo la Changzhou Nchi China ambao wameonesha nia ya kuwekeza kwa kujenga viwanda vya kuzalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo power…

Wadau wachambua miaka mitatu ya Samia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kuongeza fursa hasa za ushiriki wa sekta binafsi katika kupanua wigo wa ukuaji wa uchumi nchini. Hayo yamebainishwa jijini Dar…

TANROADS: Uharibifu wa mazingira Busunzu umetokana na mabadiliko ya kimazingira

Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeeleza kuwa uchunguzi wa awali unaonesha uharibifu wa barabara eneo la Busunzu kwenye barabara kuu ya Kigoma-Mwanza umetokana na mabadiliko ya kimazingira (Geo-Environmental). Akitoa ufafanuzi wa suala hilo, Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi…

Makonda awataka wanasiasa kuacha kumtofautisha Rais Samia na Magufuli

Katibu wa NEC,Itikadi , Uenezi na Mafunzo CCM , Paul Makonda amewataka wanasiasa kuacha tabia ya kumtofautisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli. Kauli hiyo ameitoa  Mach 26,2024 jijini Dar es…

Rais Samia amuahidi ushirikiano rais mteule Senegal

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuahidi ushirikiano wa karibu Rais mteule wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye katika kuimarisha uhusiano na tija kwa pande zote za jamhuri. Kupitia kurasa rasmi za mitandao ya kijamii za Rais Samia, ameandika, matarajio yake ni kuendelea…