JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

TASWA yaungana na Watanzania kuomboleza kifo cha mzee Mwinyi

Na Mwandishi Wetu Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ally Hassan Mwinyi kilichotokea Februari 29,2024 jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa leo na Katibu…

CHADEMA yamlilia mzee Mwinyi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Rais wa Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi kilichotokea Februari 29, 2024 jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa leo…

ATCL yaeleza hitilafu iliyosababisha ndege kurudi baada ya kupaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi amesema injini moja ya ndege ya kampuni hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Mbeya,ilipata hitilafu ya kupata joto na kusababisha moshi…

Dk Mpango kuongoza waombolezaji Dar

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajia kuongoza shughuli ya kuaga mwili wa Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, hayati Ali Hassan Mwinyi katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo. Akitoa ratiba ya mazishi ya kiongozi huyo, Msemaji wa…

Muhimbili yaja na mpango wa dharura wa kuhudumia wanachama wa NHIF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kufuatia baadhi ya Hospitali kusitisha huduma kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuanzia Machi 1, 2024, Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) umekuja na mpango wa dharura…