JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Serikali yaiomba FAO kuunga mkono mipango ya kupambana na athari za mabadiliko tabianchi

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo ameliomba Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) kuendelea Kuunga mkono mipango ya Serikali ya Tanzania katika usimamizi wa mazingira na kupambana…

Garden Michael aanza kuwasha moto Afrika Kusini

Isri Mohamed Mlinzi wa kushoto raia wa Tanzania, Gadiel Michael anayekipiga kwenye klabu ya Cape Town nchini Afrika Kusini ameanza kuwasha moto kwenye klabu yake hiyo kwa kutoa Assist ya bao la kwanza wakicheza dhidi ya Galaxy fc. Mchezo huo…

CBE yapongezwa kwa ubunifu wa kozi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeiagiza wenye maabasi nchini kuhakikisha madereva na wahudumu wao wote wa usafiri wa umma nchini wanapata  mafunzo ya namna ya kutoa huduma ya kwanza ndani ya kipindi cha miaka mitatu. Imesema mafunzo…

Muhimbili yatoa pini kwenye mapafu ya mtoto wa miaka mitano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mtoto mwenye umri wa miaka mitano, mkazi wa Jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki ametolewa pini kwenye mapafu yake kwa kutumia kifaa maalum chenye kamera kilichopelekwa moja kwa moja hadi ilipo, kuinasa…

Mwekezaji adaiwa kuharibu mashamba, wanawake wamlilia mama Samia Lupunga Pwani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Kaya zaidi ya 900 za Kijiji cha Lupunga, mkoani Pwani wamo hatarini kukumbwa na njaa baada ya kinachodaiwa mwekezaji kuvamia mashamba na kuharibu mazao kinyume cha sheria. Akizungumza hivi karibuni kwa niaba ya wananchi, Mwenyekiti…