JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Bruno na Singida FG ndio basi tena

Na Isri Mohamed Kiungo wa Brazil anayekipiga klabu ya Singida Fountain Gate, Bruno Barroso amethibitisha kuachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande zote mbili kuanzia leo Machi 4, 2024. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Bruno amepost barua yenye ujumbe…

Bashungwa atoa masaa matatu kurejeshwa mawasiliano ya barabara Mtwara – Masasi yaliyokatika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Masasi Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameelekeza Wakala wa Barabara (TANROADS) kuhakikisha wanarejesha mawasiliano ya barabara iliyokatika eneo la Maili Mbili katika barabara ya Mtwara-Mingoyo-Masasi ndani ya masaa matatu mara baada ya Daraja kusombwa na maji…

Bwawa la Nyerere mkombozi, Rais Samia atimiza ndoto ya Magufuli kwa vitendo

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Rufiji Mgawo wa umeme uliolisumbua taifa kwa muda mrefu sasa unafikia ukomo baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kuanza kuzalisha umeme kwa kuingiza kwenye gridi ya taifa megawati 235 mwezi huu, JAMHURI linathibitisha. Kuanzia Febaruari 22,…

Haiti yatangaza hali ya hatari

Serikali ya Haiti imetangaza hali ya hatari na amri ya kutotoka nje usiku. Watu hawataruhusiwa kutoka nje kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa 11 alfajiri ili kurejesha udhibiti wa nchi baada ya gereza kuu kuvamiwa na genge la…

JKCI yaombwa kutoa elimu ya lishe

Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam wameiomba Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuendelea kutoa elimu ya lishe bora ambayo itawasaidia kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo. Ombi hilo limetolewa…

Hospitali ya Rufaa Songea ilivyomaliza adha ya wagonjwa kwenda Muhimbili

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Afya imetenga zaidi ya shilingi bilioni 6.57 kutekeleza mradi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa,Songea. Fedha hizo ni kwa ajili ya…