JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Aliyewanywesha watoto wake sumu na kufariki naye afariki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Daines Paul Mwashambo (30), mkazi wa Kijiji cha Mashese aliyekuwa akishikiliwa kwa tuhuma za kuwaua watoto wake wawili kwa kuwanywesha sumu amefariki. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema kuwa marehemu alikuwa akipatiwa…

TARURA kutekeleza miradi ya barabara ya bil. 17 Kaliua

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilayani Kaliua Mkoani Tabora wanatarajia kutumia zaidi ya sh bil 17 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya matengenezo ya barabara ili kuhakikisha barabara zote zinapitika….

Rais Samia awezesha miradi ya wafugaji, watakiwa kuzalisha maziwa kwa wingi

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Tanga Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amesema jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungua nchi kiuchumi zimesaidia uwepo wa miradi mbalimbali ikiwemo ya…

Steven awashauri kwa wanaharakati kuacha kufanya siasa za udhalilishaji

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao Steven Mengere amewashauri wanaharakati na wanasiasa kufanya siasa za hoja na sera na si kutumia lugha za matusi na udhalilishaji lakini pia kutumia mitandao kutangaza…