JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Wakazi Lulanzi walia na kero ya maji, umeme,hospitali ya wilaya yakabiliwa na changamoto hiyo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAKAZI wa Lulanzi pamoja na Hospital ya Wilaya ya Lulanzi, Kata ya Pichandege ,Kibaha , mkoani Pwani wanakabiliwa na kero kubwa ya ukosefu wa maji na kukosa huduma ya nishati ya umeme wa uhakika ….

Serikali yatangaza kupungua ugonjwa wa matende, mabusha

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imetangaza kupungua kwa maambukizi ya magonjwa ya kuambukiza ikiwemo matende na mabusha Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani. Akizungumza na waandishi hii leo Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema nchi imepiga…

Waziri Gwajima atoa rai kwa taasisi kuwekeza kwa wanawake

Na Jumanne Magazi, Jamhuriamedia, Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu Dk Dorothy Gwajima ametoa rai kwa taasisi mbalimbali nchini kuendelea kuwekeza kwa wanawake, kwani kwa kufanya hivyo, ni kuongeza kasi ya maendeleo, kukuza…

UNICEF yaahidi kusaidia utekelezaji mageuzi sekta ya elimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Kimataifa la Kuhudunia Watoto (UNICEF) limeahidi kusaidia utekelezaji wa mageuzi katika sekta ya elimu ili kuhakikisha watoto wa kitanzania wanapata elimu bora. Hayo yameelezwa Machi 12, 2024 Jijini Dar es Salaam…

Kamati ya Bunge yakagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati Mtumba

📌 Yapongeza Wizara kushirikisha Taasisi za Umma kwenye ujenzi 📌 Yataka mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi 📌 Ujenzi wafikia asilimia 75 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa…