JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Regrow waleta neema Hifadhi ya Taifa Ruaha

…………………….. Na Mwandishi Wetu Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW), umezidi kuwa neema kwa uhifadhi wa Ikolojia pamoja Utalii katika Hifadhi ya Taifa Ruaha kutokana na Maboresho ya mito uliofanywa Wilaya ya Mbarali…

Katambi awaomba viongozi kushirikiana ili kuchochea maendeleo Jimbo la Shinyanga Mjini

Na Suzy Butondo,JamhuriMedia,Shinyanga Mbunge wa Jimbo la Shinyanga mjini ambaye pia ni naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Patrobas Katambi amewaomba viongozi wa CCM na Serikali kushirikiane naye kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo na…

CTI yampongeza Rais Samia kwa kuwajali wawekezaji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mkuranga SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini (CTI) ,limempongeza Rais Samia kwa kuwapa fursa kubwa wafanyabiashara ya kukaa nao meza moja ya majadiliano kuhusu namna ya kutatua changamoto zao. Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi wa Shirikisho hilo, Leodegar…

PURA yawekeana hati ya mashirikiano na Chuo cha DMI

Na Magrethy Katengu, JamahuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petrol (PURA) wamewekeana hati ya Saini ya ushirikiano na Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) katika kupata wataalamu wakufunzi watakaosaidia Usalama katika shughuli za uchimbaji…

Wadau waombwa kuwekeza kwenye tasnia ya urembo

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia Mwakilishi wa Tanzania wa Mashindano la Mrembo wa Dunia (Miss World 2024)Halima Kopwe amewaomba wadau mbalimbali kuwekeza kwenye tasnia ya urembo kama inavyofanya vilabu mpira ili vijana wengi kupenda tasnia hiyo na kuweza kuitangaza Tanzani Kimataifa. Akizungumza…

Ofisi ya Waziri Mkuu itaendelea kuratibu programu ya ASDP II ili kuongeza tija – Dk Yonazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ameeleza kuwa, Ofisi yake itaendelea kuratibu Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili (ASDP II) ili kuendelea…