JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Makinda awataka waandishi wa habari kuyatumia matokeo ya Sensa kusaidia uboreshaji huduma

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Anne Makinda amewataka waandishi wa habari kutumia matokeo ya sensa kuandika habari zitakazosaidia katika uboreshaji wa huduma mbalimbali za jamii. Amebainisha hayo jijini…

Maambukizi ya Malaria yamepungua kwa asilimia 8.1 Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amesema kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa Malaria nchini kimepungua na kufikia asilimia 8.1 kwa mwaka 2023 kutoka asilimia 15 kwa mwaka 2015. Dkt. Jingu amesema hayo…

Mbaroni kwa kusambaza taarifa za uchochezi kuhusu viongozi wa Serikali

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata, linawashikilia na kuwahoji kwa kina watuhumiwa watano (5) kwa tuhuma za kutenda makosa mbalimbali ya kimtandao. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Machi…

Madereva wa mabasi yaendayo mikoani wapata huduma ya upimaji macho

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriaMedia, Mbezi Hii ni wiki ya maadhimisho ya Ugonjwa wa Shinikizo la macho au Presha ya Macho duniani ambapo hospitali ya CCBRT,kwa kushirikiana na hospitali ya Barrack PolisI Kilwa Road na halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, wameadhimisha…

Kamati ya Bunge yaridhishwa na maboresho kiwanda cha KMTC Moshi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo, Mifugo na Uvuvi imelipongeza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa kuboresha Kiwanda cha KMTC na kuendelea na uzalishaji wa vipuri pamoja na mashine…

Bilioni 79 kujenga vituo vya Polisi Kata nchi nzima

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Serikali imedhamiria kutumia kiasi cha Tshs.Bilioni 79 kujenga Vituo vya Polisi Kata 698 katika maeneo mbalimbali nchini lengo ikiwa kutataua changamoto za kiusalama kwa jamii ambapo kila kituo kinatarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi milioni 115….