JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Wananchi bonde la mto Rufiji wapewa tahadhari

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewataka wananchi walioweka makazi na kufanya shughuli za kilimo katika bonde la mto Rufiji kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maji yanayoongezeka katika mto huo. Mkuu wa Mkoa wa…

Polisi: waliokaidi kuondoa 3D kukamatwa

Na Mwandishi Wetu, Jeshi la Polisi -Arusha. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limekutana na viongozi wa madereva wa Daladala Mkoani humo kwa ajili ya kusikiliza changamoto zinazowakabili Kwa ajili ya kuzitatua. Akizungumza mara baada ya…

Sonko, msaidizi wake waachiwa huru

Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko, ameachiliwa huru siku chache kabla ya uchaguzi wa rais nchini humo uliopangwa kufanyika Machi 24. Bwana Sonko na msaidizi wake Bassirou Diomaye Faye, walikuwa katika gereza la Cap Manuel na kulakiwa na…

Yanga Vs Mamelod, vita ya kukata na shoka

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa watafanya maandalizi bora kupata matokeo chanya. Ikumbukwe kwamba Yanga…

Chuo cha Bahari chandaa kongamano la kutafsiri dhana ya uchumi wa buluu

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), kimeandaa kongamano la tatu la mwaka la kimataifa, litakalozungumzia dhana nzima ya uchumi wa buluu. Akizungumza na waandishi wa habari mkuu wa chuo hicho Dkt Tumaini…

Arusha ipo tayari kwa michezo ya Mei Mosi, 2024

Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia, Arusha Maandalizi ya michuano ya michezo ya Mei Mosi 2024 yanaendelea jijini Arusha ikiwemo kuweka vizuri mazingira ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid tayari kwa maadhimisho ya Sherehe  hizo. Hayo yamesemwa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa…