JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Wandishi wa habari watakiwa kuvaa mavazi maalum kwenye mazingira hatarishi

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Musoma Waandishi wa Habari Mkoani Mara wametakiwa kuvaa mavazi maalum au beji wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao kwenye mazingira hatarishi. Hayo yamesemwa katika mdahalo wa nne kati wa Jeshi la Polisi, waandishi wa Hlhabari, viongozi wa Dldini,…

Prof: Mkumbo aziagiza bodi za taasisi za Serikali kuleta matokeo chanya

Na: Hughes Dugilo, JamhuriMedia, Kibaha WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Raisi, Mipango na Uwekezaji, Professa Kitila Mkumbo, ameagiza Bodi zinazowakilisha Serikali kwenye mashirika zenye hisa chache kusimamia kwa ukamilifu mashirika hayo kwa maslahi mapana ya taifa. Prof. Mkumbo ametoa maelekezo…

Siku 1095, Rais Samia madarakani na maajabu sekta ya elimu

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Wanafalsafa wengi wamesema kuhusu elimu; Wapo waliosema elimu ni funguo wa maisha, wengine wakaongeza elimu ni Maarifa, wengine pia wakanena elimu ni Bahari. Mjadala wa elimu ni bahari ni mpana sana ukimaanisha utajiri mkubwa unaopatikana…

Makarani waongozaji wa uchaguzi wafundwa Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Ikiwa imesalia siku tatu tu kabla ya Uchaguzi Mdogo wa udiwani Kata ya Msangani Jimbo la Kibaha Mjini ambao unatarijiwa kufanyika Jumatano Machi 20 ,2024 makarani waongozaji wamepata mafunzo. Mafunzo hayo yanetolewa leo Machi 16,…