JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

DC Shaka azitembelea familia zilizoathirika na mafuriko Kilosa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amelazimika kutembea zaidi ya kilometa 5 ndani ya maji baada kuzungukwa wakiwa katika harakati za kusaidia kuokoa wananchi waliopata mafuriko kufuatia kujaa mto Miombo baada kupokea maji…

Prof. Elisante: Tanzania nchi ya kwanza Afrika kutumia TTS

Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma Mtendaji Mkuu Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel amesema Tanzania ndio nchi ya kwanza barani Afrika kutumia Mfumo wa Unukuzi na Tafsiri (TTS) mahakamani. Prof. Ole Gabriel aliyasema hayo tarehe 17 Machi, 2024 wakati Kamati…

Putin aongoza kura ya urais kwa asilimia 87

Dalili za ushindi wa Vladimir Putin wa upande mmoja kama Rais wa Urusi ni dhahiri. Wasimamizi wa uchaguzi wametangaza kuwa alipata zaidi ya asilimia 87 ya kura katika matokeo yaliyotolewa kufikia sasa. Putin amekuwa akisema kila mara kuwa ana uhakika…

TAWA : Ujangili wa tembo umepungua nchini

Tanzania imefanikiwa kudhibiti  ujangili wa tembo kutokana na juhudi za miaka mingi iliyofanywa n Serikali kwa kushirikiana na vikosi mbalimbali, mashirika  pamoja taasisi za ndani. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa waandishi wa habari wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania…

Dk Biteko ashiriki misa takatifu ya kumwombea hayati Magufuli Chato

📌 Asema Rais, Dkt. Samia anatekeleza kwa kasi kubwa misingi iliyowekwa na Hayati Magufuli 📌 Dkt. Samia ajenga Makumbusho ya Hayati Magufuli Chato 📌 Familia ya Magufuli, Mbunge Chato wamshukuru Rais Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….