JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Mtoto wa miaka 8 ajinyonga, kisa ugomvi wa wazazi wake

Na isri Mohamed, JamhuriMedia, Manyara MTOTO wa miaka nane, mwanafunzi wa darasa la pili wa shule ya msingi Maisaka mjini Babati mkoani Manyara, amekutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda juu ya mti wa mstafeli uliopo nje ya nyumba yao. Taarifa za…

Mdau wa maendeleo Kilimanjaro Joseph Mushi apeleka tabasabu kwa wanakijiji Singa

Ajenga zahanati ya kisasa, wananchi wafurahia Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Wanakijiji wa Singa,kata ya Kibosho Mashariki mkoani Kilimanjaro wameonesha kufurahishwa kwa kujengewa zahanati na mdau wa maendeleo Joseph Mushi ambaye amechukua hatua ya kujenga zahanati ya kisasa kwa wanakijiji…

Watuhumiwa wa uhalifu, dawa za kulevya wakamatwa Arusha

Na Mwandishi Wetu, Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema hali ya ulinzi na usalama mkoani humo kwa mwezi Februari hadi sasa ni shwari huku likiwakamata watuhumiwa wa uhalifu, dawa za kulevya pamoja pikipiki zinazotumika katika uhalifu….

ACT -Wazalendo : Serikali itekeleze ahadi uchaguzi Serikali za Mitaa

Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutunga sheria ya kuiwezesha Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kauli hiyo imetolewa na Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho, Isihaka Mchinjita kwenye mapokezi ya kumpongeza…

Al Hilal waomba kucheza Ligi Kuu ya Tanzania

Na Isri Mohamed Klabu ya AL Hilal ya Sudan imetuma maombi kwa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, ya kucheza Ligi Kuu ya Tanzania kuanzia msimu ujao. Afisa habari wa TFF, Clifford Ndimbo amezungumza na Jamhuri Media na kulifafanua…