JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Mwalimu Mkuu Geita afikishwa kortini kwa kughushi 1,500,000

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Machi 18, 2024, shauri la rushwa na uhujumu uchumi Na. 7060/2024, lilifunguliwa mbele ya Atupye Benson Fungo ambaye ni Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Mbogwe dhidi ya Ambakisye Amani Mfwango ambaye ni mwalimu…

Onyo latolewa kwa, wanaoweka ‘vipipi’ sehemu za siri

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ongezeko la dawa asili zinazodaiwa kuondoa changamoto za kike sehemu za siri, ikiwamo kupunguza majimaji, kulegea na kuongeza joto imebainika hazijasajiliwa, pia ni hatari kwa afya. Baadhi ya dawa hizo ni vipipi, mbano…

Mafunzo usalama barabarani kuzifikia wilaya zote Tanga, madereva bodaboda kunufaika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tanga Mafunzo ya Usalama barabarani yanayotolewa na Amend Tanzania kwa ufadhili wa Ubalozi wa Uswisi nchini kwa madereva bodaboda jijini Tanga sasa yanatarajiwa kutolewa katika wilaya zote za Mkoa wa Tanga ,lengo likiwa kuwafikia madereva wengi zaidi…

Dk Biteko ashiriki sherehe ya kuwekwa wakfu na kusimikwa askofu mpya Jimbo Katoliki la Mafinga

📌 Asema Rais Samia anaendelea kutoa ushirikiano kwa madhehebu ya Dini 📌 Asisitiza utunzaji wa mazingira 📌 Ampongeza Dkt. Samia kwa kuendesha nchi kwa utulivu na kasi ya maendeleo 📌 Atoa neno kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa Na Mwandishi Wetu,…

Dhahabu kilo 9 iliyokuwa inatoroshwa yakamatwa Mbeya

–Waziri Mavunde aingia mtaani na kikosi kazi kwenye eneo la maficho –Aupongeza uongozi mkoa na vyombo vya usalama –Aagiza kusimamisha leseni za biashara ya madini za watuhumiwa –Dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya Sh 1,555,476,586 –Serikali ingepata mapato ya Sh 144,659,322…