JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Bilioni 48.9 zatumika ujenzi jengo la DAWASA Yetu, kukamilika Juni

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji na Mitaji ya Umma imekagua na kufurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la DAWASA Yetu lililogharimu shilingi bilioni 48.9 na linatarajiwa kukamilika Juni mwaka huu….

Waziri Silaa awaahidi wakulima waliochukuliwa ardhi Monduli kupata neema

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewahakikishia wakulima na wafugaji zaidi ya 120 kutoka Kijiji cha Loksale Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha kuwa malalamiko yao ya kuchukuliwa ardhi ekari 47,000 na serikali…

TANAPA: Watalii 1.5 watembelea Hifadhi za Taifa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) limesema kwa mwaka huu wa fedha 2023/2024 katika kipindi cha Julai 2023 hadi Machi 19, 2024 idadi ya watalii imeongezeka na kufikia 1,514,726. Aidha…

‘Watu binafsi wamechimba visima na kuwatoza wananchi gharama kubwa’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu binafsi wamebainika kuchimba visima vya maji ambavyo vinatoa huduma kwa gharama ambazo hazibebeki kwa wananchi,ambapo imeibua changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma hiyo katika Jiji la Dar es salaam. Ameyasema hayo leo…

DC Simiyu : Hatutowavumilia wanaokaidi bei elekezi ya sukari

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amesema kuwa wafanyabiashara katika wilaya hiyo wameendelea kukaidi agizo la serikali la kufuata bei elekezi ya sukari na kuwauzia wananchi bei kubwa. Simalenga amesema kuwa bei ya sukari ambayo wafanyabiashara wanawauzia…

NIDA yatengeneza vitambulisho vya taifa Njombe kwa asilimia 95

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Jumla ya vitambulisho vya Taifa 369,002 vimezalishwa katika mkoa wa Njombe na kufikia zaidi ya asilimia 95 kati ya vitambulisho 397,143 ambavyo wananchi walijiandikisha na tayari vimeshaanza kusambazwa kwenye ofisi za maofisa watendaji wa kata….