JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

ACT Wazalendo wataka mabadiliko ya sheria vyombo vya haki jinai

Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kupeleka bungeni muswada wa marekebisho ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuvifanyia mageuzi makubwa vyombo vya haki jinai na mfumo wa uchaguzi kwa ujumla wake. Akizungumza leo katika makao makuu ya…

Mradi kuwawezesha wanawake sekta uvuvi Afrika Mashariki wazinduliwa

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mradi wa kuwawezesha wanawake katika mnyororo wa thamani wa mazao ya uvuvi kwa nchi za Afrika Mashariki kupitia Ziwa Victoria umezinduliwa ili kumuwezesha mwanamke kuongeza kipato kupita kupitia mazao hayo. Akizungumza jijini Dar…

Hamas yasema waliokufa tangu kuanza kwa vita ni 32,142

Wizara ya afya ya Ukanda wa Gaza inayoongozwa na Hamas imesema leo Jumamosi kuwa takriban watu 32,142 wameuwawa huku wengine 74,412 wamejeruhiwa tangu kuanza kwa vita kati ya vikosi vya Israel na kundi la Hamas. Uharibifu unaotokana na mapigano yanayoendelea…

Waziri Mkuu afuturisha Ruangwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, akisalimiana na wananchi mbalimbali waliohudhuria Iftafri aliyoandaa  Machi 22, 2024 Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi ikiwa ni sehemu ya kuonesha upendo na tukio la imani katika mwezi mtukufu wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mbunge wa…

Putin kuwashughulikia wahusika shambulizi lililouwa watu 115

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amewatahadharisha wahusika wa shambulizi lililowaua watu zaidi ya 115 eneo la Crocus City Hall nchini humo kuwa atakumbana na adhabu kali. Akihutubia taifa hilo muda mchache uliopita, Putin amesisitiza kuanzia aliyewatuma hadi waliotekeleza uhalifu huo…

Benki Kuu kukabiliana na upungufu wa fedha za kigeni

Benki Kuu ya Tanzania imeendelea kushiriki kikamilifu katika Soko la Jumla la Fedha za Kigeni, kwa kuuza dola ya Marekani kwa benki za biashara ikiwa ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kupunguza uhaba wa fedha za kigeni nchini. Kwa mujibu…